Find Us On Facebook
 
X

Sunday 12 January 2014

MZEE MMOJA KUTOKA IRAN AVUNJA REKODI BAADA YA KUKAA KWA MUDA WA MIAKA 60 BILA YA KUOGA CHEKI PICHA ZAKE HAPA..





Huyu ni mzee wa miaka 80 mwenye asili ya Irani anayejulikana kwa jina la  Amoo Hadji, anaishi katika kijiji cha  Dezhgah hajawahi kuoga kwa zaidi ya miaka 60



  

  

 


0 comments:

Post a Comment