Find Us On Facebook
 
X

Friday 24 January 2014

HAWA NDIO WASANII WATATU WALIOREKODI WIMBO WA KOMBE LA DUNIA 2014, WANAWAKE WAWILI

jlo pitbull

Ebwana shirikisho la soka duniani kwa kushirikiana na Sony Music wametangaza kwamba ‘We Are One’ ndio jina la wimbo wa kombe la dunia 2014 litakalochezwa Brazil ambapo mastaa watatu wa muziki walioteuliwa kuimba huo wimbo ni Pitbull, Jennifer Lopez pamoja na Mbrazil Claudia Leitte.
Single itaachiwa na Sony miezi michache ijayo na itatumika pia kwenye ufunguzi wa mashindano hayo Sao Paulo Brazil June 12 huku pia video yake ikifanyiwa kazi kwa sasa.
Hao hapo juu ni J.Lo na Pitbul, na hizi picha hapa chini ndio za huyu mrembo mwenyewe wa Kibrazil.
brazil 2
Brazil 1

0 comments:

Post a Comment