Find Us On Facebook
 
X

Wednesday 26 February 2014

Video inayosambaa ya Ostaz Juma akiombwa msamaha na Pnc.

21
Hii ni video ambayo imezunguka sana leo kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii ambayo wadau wengi wa muziki wamedai ni kama kudharirishwa kwa wasanii wa Tanzania na kuonekana kama hawana msimamo na kazi yao waifanyayo.
31
Video hii inamunyesha memba wa zamani wa kundi hilo la Mtanashati Intertainment Pnc,akimuomba msamaha Big boss wa kundi hilo Ostaz Juma Namusoma.




0 comments:

Post a Comment