Find Us On Facebook
 
X

Friday, 31 January 2014

Javier Hernandez Chicharito atakiwa na vilabu sita, lakini anabaki Man United

Wakala wa mchezaji Javier Hernandez amethibitisha kwamba mshambuliaji huyo anaendelea kubakia Old Trafford pamoja na kutakiwa vilabu sita barani ulaya. Chacharito, 24, amekuwa akihusishwa na suala la kuondoka Manchester United ili kuweza kupata timu atakayokuwa akicheza muda mwingi. Wakala wake Eduardo Hernandez mapema leo alikaririwa na ESPN Deported akisema: “Nilikuwa na mikutano na vilabu kadhaa, siwezi kuvitaja...

Aaron Ramsey nje ya dimba kwa wiki 6

Kiungo wa Arsenal Aaron Ramsey hatoweza kuitumikia klabu ya Arsenal kwa takribani wiki sita, meneja wa klabu hiyo Arsene Wenger amesema. Ramsey ambaye amekuwa fomu nzuri msimu, tayari alishakuwa nje ya dimba kwa takribani mwezi mmoja sasa baada ya kuumia katika mchezo wa ushindi wa 3-1 dhidi ya West Ham mnamo mwezi December. Akiongea na waandishi wa habari muda mchache uliopita Wenger alisema: “Aaron Ramsey atakuwa...

Pichaz za kikongwe anayedhaniwa kuwa mchawi alivyokamatwa chumbani kwa mtu akiwa mtupu.

    Hili ni tukio lilitokea huko Bukoba ambalo linamhusisha Kikongwe mmoja ambaye jina lake bado halijapatikana kukutwa chumbani kwa mtu huku akiwa mtupu chumbani kwa mtu.   Mpaka sasa bado haijajulikana kama ni Kigarura au pengine alipata matamani ya mwili akaona pengine chumba kile kingemfaa kumpatia msaada wa mambo yake.   Bibi ...

Weekend hii ya mwisho wa mwezi unaweza kuangalia movie hizi kama upo Dar na Arusha.

Last Vegas ni moja ya movie mpya kwenye list ya movie zitakazoonyeshwa  kuanzia leo 31/1 kwenye theaters tofauti na imewahusisha wakongwe kama Freeman,De niro,Douglas na Kline. Unaweza kwenda kuicheki kama unawakubali wakali hawa na pia hapa kuna ratiba ya movie nyingine kama upo Dar na Arusha. ...

Hatimaye uwanja wa Azam Complex waruhusiwa kuchezewa mechi za kimataifa

Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika CAF leo tarehe 31 Januari 2014 limeupa kibali cha kuchezea mashindanoya kimataifa yanayoandaliwa na CAF uwanja wa Azam Complex Chamazi na kuufanya uwanja wa kwanzaunaomilikiwa na klabu Afrika Mashariki  kuruhusiwa kuandaa (ku-host) mashindano makubwa ya vilabu Kwa mujibu wa barua pepe iliyotumwa leo na CAF kupitia kwa naibu mkurugenzi wa mashindano Bwana Khaled ...

Monday, 27 January 2014

USHAWAHI KUPATA PICHA YA RONADINHO GAUCHO AKIWA NYUMA YA MIC AKIIMBA?MSHUHUDIE HAPA.

Mara nyingi inazoeleka kwa Star yoyote duniani kufanya kitu kilichosababisha awe star,yaani kama muimbaji atajitahidi kukomaa na uimbaji,kama ni mchezaji mpira atajitahidi kukomaa na mpira,japo kwa sasa tunawashuhudia wasanii wengi wa movie kwa Tanzania wakijaribu muziki na baadhi yao kupokelewa vizuri. Miongoni mwa wasanii wa Tanzania waliopokelewa vizuri wakitokea kiwanda cha Movie Tanzania kuna Shilole,Snura,Kitale,Baby...

MOURINHO: ILIKUWA VIGUMU KUMWACHIA MATA

Juan Mata na Mzee Mourinho Kocha wa klabu ya Chelsea Jose Mourinhoamesmea kuwa ulikuwa ni 'uamuzi mgumu' kwake kumwachilia mchezaji wa kiungo cha kati wa timu ya taifa ya Uhispania Juan Mata kujiunga na wapinzani wao katika ligi kuu ya England Manchester United. Mata aliye na umri wa miaka, 25, ameandikisha rekodi ya uhamisho katika klabu ya Man United kwa baada ya kuuzwa na Chelsea kwa kititia kinono cha pauni...

YOUNG KILLER ARUDI DARASANI RASMI…

Young Killer Msodoki, rapper mwenye umri mdogo aliyefanikiwa kuiteka Tanzania na hata kuifikisha sauti yake Marekani na kumpata shabiki ‘mzungu’ aliyejirekodi na kuweka ujumbe wake youtube kueleza jinsi anavyomkubali, sasa amefanikiwa kuishi ndoto yake ya kujiendeleza kimasomo. Rapper huyo ambaye hivi karibuni alieleza wazi kuwa anahitaji msaada wa kifedha ili aweze kurudi shule, ameingia rasmi darasani kusomea Information Technology (IT). “Am..back…class…”,...

HII NDIYO NAMBA ALIYOPEWA JUAN MATA NDANI YA MAN UNITED

Juan Mata amekabidhiwa rasmi jezi ya Manchester united yenye namba 8 mgongoni. Makabidhiano hayo yamefanyika kati ya Mata na kocha David Moye...

JINSI BEYONCE,ALICIA KEYS,CIARA,MADONNA NA WENGINE WALIVYOTOKELEZEA KWENYE RED CARPET YA GRAMMY.

...

YALIYOJILI KWENYE UTOAJI WA TUZO ZA GRAMMY HUKO LOS ANGELES

Tuzo za Grammy kwa mara ya 56 zimefanyika huko Los Angeles ambapo Jay Z ameshinda tuzo kwenye kipengele cha Best/Rap Song Collaboration na wimbo wake Holy Grail. Kwenye speech yake akipokea tuzo hiyo alii-dedicate kwa mtoto wa Blue Ivy. Wasanii wengine walioshinda award hizo ni kama Bruno Mars kwenye Best Pop Vocal Album,Justin Timberlake ameshinda awards mbili kwenye best R&B song na Pusher Love Girl na best...