Find Us On Facebook
 
X

Tuesday 8 July 2014

Kuhusu kuachiwa kwa filamu hii mpya kutoka nigeria

yello
Bodi ya filamu nchini Nigeria hatimaye imeidhinishwa kusambazwa kwa sehemu kubwa na kuonyeshwa kwa filamu hii kubwa barani Afrika Half of a Yellow Sun.
Awali Half of a Yellow Sun ilicheleweshwa na bodi hiyo na kufafanua sababu za kufanya hivyo kuwa ni kutokana na hali ya usalama inayoendelea katika nchi hiyo na kusema kuwa filamu hiyo inayoelezea vita vya wenyewe kwa wenyewe Nigeria ingeweza kusababisha machafuko.
yelo
Filamu hiyo kitabu chake kiliandikwa na mwandishi mahiri wa vitabu Chimamanda Adichie,
Hatua hiyo imekuja kipindi ambacho watengenezaji wa filamu hiyo ya Half Of A Yellow Sun tayari kuwa wameorodhesha kwa ajili ya kuonyeshwa nchini Marekani.

0 comments:

Post a Comment