Khloe
Kardashian na The game walijiachia pamoja kwenye night club kiasi cha
kuwapa watu mashaka kwamba wawili hao wapo kwenye uhusiano wa kimapenzi
hivi sasa.
Khloe alikuwa wa kwanza kukanusha uhusiano huo na kusema kwamba walikuwa wapo kwenye starehe kama marafiki.
Hivi karibuni The game amepata nafasi ya kuzungumzia kuhusu kile kilichotokea na ametoa exclusive mpya.
Akiwa kwenye radio ya BBC Radio1 Extra The game alisema asingeweza...