Find Us On Facebook
 
X

Thursday 10 April 2014

WASHIRIKI WA REDS MISS UDOM 2014 WAPATA FURSA YA KUKUTANA NA BAADHI YA VIONGOZI WA NCHI DODOMA HOTEL


Reds Miss Udom walipata fursa ya kukutana na Naibu waziri wa Utamaduni na Michezo Juma Khamia Dodoma Hotel




Warembo wakiwa kwenye Pozi na Mh Juma Khamia na Baadhi ya waandaaji





baadhi ya waheshimiwa wakiongea na washiriki wa Reds Miss Udom

0 comments:

Post a Comment